Meet Mama Dangote's Husband's Alleged Child With Sidechick (Photo)

Diamond Platnumz’s mother Sandra Kasim alias Mama Dangote’s husband, Rally Jones is said to have sired a child with his sidechick a few weeks ago.

The sidechick in question has been identified as Shariffa Tambaza, a wealthy woman who will apparently not be intimidated by Mama Dangote or her daughter Esma.

Read: Paul Okoye Of P-Square Puts On Blast Kenyan Woman Asking For Monetary Favours

View this post on Instagram

Jamani mke mwenize Mama Dangote nimempata, haki sijalala toka juzi namtafuta hadi nimempata. Anatumia @iffa_h1. Anaitwa Shariffa Tambaza, babake ni mzee Tambaza. Unaambiwa kwao mambo safi hana shida wala nini, hana cha kuuza uchi wala nini maana hana dhiki. Alafu kilichonifurahisaha zaidi unaambiwa mwanamke ni mkorofi dunia nzima. Yani ukorofi wa huyo Shariffa hata uwaunganishe Bi Sandra, Esma na Lokole bado hawamuwezi huyo dada hata robo. Huyo huyo dada ni kiboko, Yani mnaambiwa Mama Dangote hawezi mbabaishq huyo dada hata kidogo. Na shamte bado anaenda kula mzigo kama kawa na mtoto anacheza nae.Kibibi kikisinzia tu Shamte mbio Upanga kwa Sharrifah kutia mimba. . . @iffa_h1 Jamani tunakupenda sana, umejua kutunyooshea yule bibi kisebengo. Jamani mzalie mumewe na mtoto wa pili kabisa. Wanasema mwanamke jeuri dawa yake mchukulie mumewe. Sasa wewe hujamchukulia tu umemzalia kabisa. Jamani Shariffa sijui nakupa zawadi gani mdogo wangu. Naomba nikutumie pampers za mwaka mzima. . . Bibi kutwa kufurahia machozi ya watoto wa wanawake wenzie. Ahsante Mungu kwa aibu hii uliyomletea Huyu bibi. Kutwa amekalia kusimanga wanawake wa mwanae mpaka hana muda wa kumuhudumia mumewe mpaka mume kazaa nje. . . Uncle Shamte nna zawadi yako, sema nikitumiaje? Pls please uncle naomba ukubali zawadi yangu. Umejua kunipa raha ya mwaka mzima. Jamani kwetu raha 🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️ . . @iffa_h1 Alafu naona una ni follow mdogo wangu, nimefurahi, kumbe unanifatiliaga long time. Ni accept basi na mimi nikufollow, nikufunze jinsi ya kunasa mimba ya pili fastaaaaa. . . Jamani Mama Dai kapatikana asiwaambie mtu sababu huyu Shariffa ana hela zaidi ya Mama Dai anazopewa pocket money na Dai. Yani hapo huyo Shamte yupo katikati ya wanawake wawili wenye uwezo wa kumtunza kwahiyo lazma aendelee kula kote kote. Hakuna mwanamke atakae achwa hapo kama kuna atakaechwa itakuwa yule kibibi.Yani nawaaambia hivi na mtoto wa pili atazaliwa. Alafu toto zuli ka babake. Nyambaf kweli malipo hapa hapa duniani.

A post shared by Mange Kimambi (@mangekimambi_) on Jun 12, 2019 at 4:47pm PDT

In a phone interview that was leaked earlier on in the week, Mama Dangote lashed out at her cheating husband.

She urged Jones to have more kids if he so wishes. She did however clarify that is the legal wife and other after her, “fake.”

“Simjui aliyezaa hata kama kazaa sio mke, mimi ni mke najulikana kote. Kama anataka azae tu, hakatazwi mtu kuzaa halafu mimi sio tasa, watoto ninao na tena wanajulikana dunia nzima. Wanalinufaisha jiji, sasa mimi mtoto wake atanishughulisha nini?

Ndio kwanza mchanga kama kazaliwa. Hanibabaishi chochote hata kama ni mwanamke ako naye hanibabaishi. Hana mbele wala nyuma mimi sio muuza uchi. Mimi nakaa kwangu na nina familia na ninajiheshimu na nina kila kitu. Kama alichepuka akaenda kuzaa azae tu,” she said.

Email your news TIPS to Editor@kahawatungu.com or WhatsApp +254707482874. You can also find us on Telegram through www.t.me/kahawatungu

Email your news TIPS to Editor@kahawatungu.com or WhatsApp +254707482874

ncG1vNJzZmijkZ2uuK3TrqWgrV6YvK57zJqkmmWUlruou9OeZKGto5eur7CMnJ%2BipJRiwKqwxJyfopubZA%3D%3D